Friday, July 27, 2012

THE GLORY OF RAMADHAN MTAANI TAREHE 6


Mzigo uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na wadau wa tsnia ya movie bongo sasa unaingia mtaani tarehe sita mwezi ujao ni bonge la movie na wala si yakuikosa maana imejaa mafunzo ya kutosha kuhusu mwezi mtukufu wa Ramadhan.

 Chuchu Hans na Batuli wamefanya makubwa ndani ya mzigo huo wa The Glory of Ramadhan.


Dura wa Planet Bongo akiwa on set naye kafanya makubwa sana wala nisiseme sana mtajionea wenyewe wadau wangu

 

 Kazi ikifanyika.

Vijana wakiwa makini na script kabla ya scene kuanza kushutiwa

Batuli(Neshi).

Mmmmmmmm ni hatari sana futari drafti

On Set

 Hii ni moja ya filamu bora ya dini ambayo itatikisa sana sokoni.

 On set

Tukiendelea na kazi.......

TAMASHA LA UZINDUZI WA HAKUNA JIPYA YA MASANJA



Kama kawaida ya Bongo Movie ushirikiano kwa ni jadi yao, Waliuvamia mkoa wa Iringa kwa ajili ya uzinduzi wa album inayokwenda kwa jina la Hakuna Jipya iliyoimbwa na mwanachama wa Bongo Movie bwana Masanja Mkandamizaji, hongera sana kwa kazi nzuri ulioifanya na kumpokea Yesu Kristo Mungu akutie nguvu ili usitetereke na ya Dunia kwani hatujui siku wala wakati...

The Greatest ndani ya Mkoa wa Iringa..
 Mashabiki wangu walifurahi sana baada ya kumwona kijana wao anayewapa mafunzo na kuwaburudisha, hapa wakinipa mkono nami sikusita kuwa salamu ya nguyvu kwani bila wao hakuna The Greatest.


Jenifer Kiyaka(Odama) na Recho Haule ndani ya Iringa katika uzinduzi wa Masanja ukipenda pia waweza kumuita Mchungaji mtarajiwa , jamani album ya Hukuna Jipya ipo mtaani tumuunge mkono na tuache kununua kazi feki kwani kufanya hivyo ni kumnyonya msanii..

Juma Chikoka(Chopa) na Kupa wakiufatilia uzinduzi huo.

Richie na Mariam Ismail

Jack Wolper na Mama Herieti.

Davina.

Cath na Devota

Chiki Mchoma akiwa na Odama.

The Greatest nikiwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie Unit JB tukilifurahia jambo flani hivi wadau wangu

Irene Uwoya.

Nyerere The Power na Batuli(Neshi) kwenye pozii..

Hii ndo meza ya mgeni rasmi aliyevalia suti nyeusi Mheshimiwa Philp Mugulo Naibu Waziri wa elimu na mafunzo  akiteta jambo.

Mda ulifika wa Msanja Mkandamizaji kutoa show kali katika albam yake ya injili, jina ya album Hakuna Jipya

Masanja akikamua stejini

Muda wa kusoma risala ulifika na mwenyewe Masanja ndiye aliyesoma risala hiyo akiwa na vijana wake wa kazi hongera sana kaka
The power naye akuwa nyuma kumpa tafu ndugu yake Masanja

Ulifika muda wa Bongo Movie kuvamia jukwaaa
Timu nzima ya Bongo Movie jukwaani

Ratiba zikiendelea.


        
 Nawashukuru sana wakazi wa Iringa kwa jinsi walivyonipokea na kunishangilia sana.

        
Uwoya aliweza kuongea machache.

    
Coreta.

  
Chopa

Kama kawaida yetu tuliacha historia  kwa kufanya show kali .


Mgeni rasmi Mheshimiwa Philp Mulugo Naibu Waziri wa elimu na mafunzo akipanda stejini tayari kwa hotuba

Mgeni rasmi akiongea machache juu ya uzinduzi huo..
Tukiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi.


Dada wa Masanja naye alikuwepo kuhakikisha akiaribiki kitu ni Mbunge huyu dada kama sikosei

Tukipata sala kwa pamoja.
Uzinduzi ukifanyika.

Mwenyekiti wa Bongo Movie akiongea machache na kuwashukuru wakazi wa Iringa.

Msanja akimzwadia JB album ya hakuna jipya.

Show ilikwisha na vijana wa Iringa walipata bahati ya kupiga picha na wana Bongo Movie

Wednesday, July 11, 2012

BONGO MOVIES UNIT & BONGO FLEVA KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI


Kama kawaida ya Bongo Movie ushindi kwao ni jadi yao baada ya kuwafunga Bongo Fleva bao moja kwa bila katika tamasha la Matumaini katika harakati za uchangiaji wa ujengaji wa mabweni kwa wanafunzi wanaosoma vijijini, Jamani hii club ya Bongo Movie imekuwa ikijitoa sana katika kazi za kijamii basi serikali kazi kwenu nanyi kuangalia kazi zetu na kutetea maslahi yetu....

Bongo Movie Unit wakiingia katika Uwanja Taifa kwa ajili ya pambano lao na Bongo Fleva

Tukiwa kwenye vyumba vya wachezaji.

Bongo Movie

Barafu..

JB Mwenyekiti wa Bongo Movie Unit.

Bongo Fleva wakijiandaa kuingia uwanja kwa ajili ya pambano lao na Bongo Movie

Tukisubili mpambano kwa hamu kubwa saaaana

Washabiki wa Bongo Movie wakishangilia

Dokii akifanya mambo ndani ya Uwanja wa Taifa..

Ulifika muda wa wachezaji wote kuingia uwanjani kama mnavyoona The Greatest nikiongoza jahazi nikiwa timu kapten wa Bongo Movie

Nyerere The Power na Cloud..

Tukinyoosha viungo...

Tukipeana mikono na Mheshimiwa Iddi Azani.

Hili ndio bench la ufundi la Bongo Movie .

 

Bongo Fleva ikiongozwa na H-BABA.

Baada ya kumaliza hatua zote tuliweza kupeana mikono wachezaji kwa wachezaji kama ishara ya michezo ni upendo..


Kikosi cha mauaji cha Bongo Movie.....

Hiki ni kikosi cha Bongo Fleva.

Makapteni tulipata picha ya pamoja na marefa

Kiduko mfungaji wa bao pekee la kwanza lilodumu mpaka kipenga cha mwisho ambapo Bongo Movie kuibuka kidedea kwa ushindi wa bao moja kwa bila

Bongo Movie wakishangilia ushindi kwa mbwembwe..

Hatariiiiiiii saaaaana
JB akiongea machache na Mwandishi.

Furaha ilitawala uwanja mzima..

Mmeona......

Katibu wa Bongo Movie Cloud akimkabidhi mfungaji wa bao pekee la Bongo Movie mpira mpya kama zawadi kwa nzuri aliyoifanya.